Mzee wa upako
Mzee wa upako
  • 2 000
  • 3 279 408
Toka Jasho Jingi Wakati Wa Amani Itakusaidia Wakati Wa Vita Hautatokwa Damu Nyingi
#GRC kwa mzee wa upako (Athony Lusekelo)
Follow our Social Media:
FB: mzeewaupakotzz
IG: mzeewaupako_tz
TIKTOK: www.tiktok.com/@mzee__wa__upako
Askofu Antony Lusekelo ni kiongozi wa kiroho mwenye ushawishi na maono. Yeye ndiye mwanzilishi na mchungaji mwandamizi wa kanisa la Tutashinda.
Watazamaji zaidi ya million 5 hutazama jumbe zake za kutia moyo kila wiki kupitia runinga ya channel ten na zaidi ya watu milioni 1.7 wanaungana na Mzee wa upako kupitia majukwaa yake ya mitandao ya kijamii ulimwenguni.
Mzee wa upako anaweza kusikika 24/7 kwenye channel zake za UA-cam Mzee wa upako na TUTASHINDA CHURCH. Ungana na Askofu Antony Lusekelo kwenye Instagram Mzeewaupakotz.
Переглядів: 58

Відео

Roho Za Uasi Zinakaa Kwenye Udhaifu Wa Viongozi Wao
Переглядів 642 години тому
#GRC kwa mzee wa upako (Athony Lusekelo) Follow our Social Media: FB: mzeewaupakotzz IG: mzeewaupako_tz TIKTOK: www.tiktok.com/@mzee wa upako Askofu Antony Lusekelo ni kiongozi wa kiroho mwenye ushawishi na maono. Yeye ndiye mwanzilishi na mchungaji mwandamizi wa kanisa la Tutashinda. Watazamaji zaidi ya million 5 hutazama jumbe zake za kutia moyo kila wiki kupitia r...
Usimtete Baba Mchungaji wako
Переглядів 1182 години тому
#GRC kwa mzee wa upako (Athony Lusekelo) Follow our Social Media: FB: mzeewaupakotzz IG: mzeewaupako_tz TIKTOK: www.tiktok.com/@mzee wa upako Askofu Antony Lusekelo ni kiongozi wa kiroho mwenye ushawishi na maono. Yeye ndiye mwanzilishi na mchungaji mwandamizi wa kanisa la Tutashinda. Watazamaji zaidi ya million 5 hutazama jumbe zake za kutia moyo kila wiki kupitia r...
Tafakari Njia Zako
Переглядів 16019 годин тому
Tafakari Njia Zako
Kutana Na Mtu Sahihi
Переглядів 22519 годин тому
Kutana Na Mtu Sahihi
Umaskini Ulikuja Baada Ya Anguko
Переглядів 4519 годин тому
Umaskini Ulikuja Baada Ya Anguko
Utajiri Ni mchakato Unaoanzia Ndani Ya Ufahamu
Переглядів 17119 годин тому
Utajiri Ni mchakato Unaoanzia Ndani Ya Ufahamu
YESU ALIKUWA MASKINI ILI SISI TUWE MATAJIRI
Переглядів 344День тому
YESU ALIKUWA MASKINI ILI SISI TUWE MATAJIRI
MAOMBEZI MAALUM YA KUNG'OA VIKWAZO VYOTE VYA KIUCHUMI
Переглядів 76День тому
MAOMBEZI MAALUM YA KUNG'OA VIKWAZO VYOTE VYA KIUCHUMI
Mzee wa Upako AFICHUA SIRI ya UTAJIRI WAKE - AZUGUMZA MAMBO MAZITO YALIOMPA MALI MIAKA 37 ILIYOPITA.
Переглядів 65 тис.День тому
Mzee wa Upako AFICHUA SIRI ya UTAJIRI WAKE - AZUGUMZA MAMBO MAZITO YALIOMPA MALI MIAKA 37 ILIYOPITA.
MAOMBI YENYE NGUVU YA UPAKO
Переглядів 97514 днів тому
MAOMBI YENYE NGUVU YA UPAKO
Usivunjike Moyo Endelea Kuamini
Переглядів 22214 днів тому
Usivunjike Moyo Endelea Kuamini
Ukiamini Utapigwa Vita
Переглядів 1,1 тис.14 днів тому
Ukiamini Utapigwa Vita
Anguko La Watu Wengi Ni Kwenye Kujifunza
Переглядів 1,3 тис.14 днів тому
Anguko La Watu Wengi Ni Kwenye Kujifunza
Unaimba Mungu Ni Mwema Kwa Sababu Una Mtumaini
Переглядів 13714 днів тому
Unaimba Mungu Ni Mwema Kwa Sababu Una Mtumaini
Bila Ridhaa Ya Mungu Utajiri Utausikia
Переглядів 46414 днів тому
Bila Ridhaa Ya Mungu Utajiri Utausikia
Tuimbe Tumepona
Переглядів 24014 днів тому
Tuimbe Tumepona
Usivunjike Moyo Endelea Kuamini
Переглядів 24514 днів тому
Usivunjike Moyo Endelea Kuamini
SIKU NANE ZA MAOMBEZI MAALUM WIKI HII KUANZIA ALHAMIS YA TAR 13-06-2024
Переглядів 83614 днів тому
SIKU NANE ZA MAOMBEZI MAALUM WIKI HII KUANZIA ALHAMIS YA TAR 13-06-2024
KANUNI ZA USHINDI WA MAISHA YAKO
Переглядів 4314 днів тому
KANUNI ZA USHINDI WA MAISHA YAKO
HIZI NDIO KANUNI ZA USHINDI
Переглядів 2114 днів тому
HIZI NDIO KANUNI ZA USHINDI
CHUMA CHA PUA
Переглядів 21014 днів тому
CHUMA CHA PUA
2024 MWAKA WA MAOKOTO
Переглядів 6614 днів тому
2024 MWAKA WA MAOKOTO
SONG; Naendelea
Переглядів 6114 днів тому
SONG; Naendelea
Baraka Za Week Hii
Переглядів 1614 днів тому
Baraka Za Week Hii
SONG; Nilianza Na Mungu
Переглядів 1914 днів тому
SONG; Nilianza Na Mungu
SONG; SINA HOFU
Переглядів 6714 днів тому
SONG; SINA HOFU
Yesu Wastahiri Heshima Na Utukufu
Переглядів 2814 днів тому
Yesu Wastahiri Heshima Na Utukufu
NGUVU YA MAOMBI NA MAOMBEZI
Переглядів 14321 день тому
NGUVU YA MAOMBI NA MAOMBEZI
IBADA YA MAOMBI NA MAOMBEZI
Переглядів 57721 день тому
IBADA YA MAOMBI NA MAOMBEZI

КОМЕНТАРІ

  • @VailethSamwel-pu4er
    @VailethSamwel-pu4er 4 години тому

    Amen

  • @Moses-yw5mb
    @Moses-yw5mb 7 годин тому

    Mzee wa upako anaelewa Bible na haubiri kama kibaraka Yesu ni mshirika wa Mungu na sio Mungu hata yeye alisema "mimi ni mzaliwa wa kwanza wa baba yaani Mungu" lakini alisema kwanini kuniita mwema mwemani Mungu pekee yake" kwavyo Yesu anatutambulisha ukuu wa Mungu

  • @NeemaJuma-xn9nw
    @NeemaJuma-xn9nw 19 годин тому

    Amen, Ahsante kwa Neno

  • @user-ni8lv4nt7c
    @user-ni8lv4nt7c 21 годину тому

    Hapa nimekuelewa sana anthony

  • @KanalIdrissah-dh5hj
    @KanalIdrissah-dh5hj День тому

    Tatizo hamjamuelewa mzee ypo sawa

  • @Gospelsingersandactors
    @Gospelsingersandactors День тому

    Mzee umekuwa mwiba sana kwenye ukristo aise

  • @dizobrownclassic8950
    @dizobrownclassic8950 День тому

    Wafundishe wataelewa tu kama yesu siomungu

  • @venerandamaufi8574
    @venerandamaufi8574 День тому

    Tatizo mnakuwa na mawazo potofu ya kibinadamu,kwamba mtu akitaka kuzaa afuate taratibu kdhaa! Mnakufuru na kuchuma dhambi! Kumbuka Mungu ni mkuu na kwa utukufu wake na uweza wake wa ajabu!bila hayo mnayofikiria ninyi ,Yesu alpatikana kupitia mama Bikira Maria!,Yesu atabaki kuwa mwana wa Mungu in na ni Mungu ktk nafsi ya pili ya Mungu.

  • @w_i_z_z_y_770
    @w_i_z_z_y_770 День тому

    NABARIKIWA NA INJIRI BABA

  • @w_i_z_z_y_770
    @w_i_z_z_y_770 День тому

    Amina sanaaa

  • @aminielyusufu4351
    @aminielyusufu4351 День тому

    YESU ni MUNGU tena Mkuu Tito 2:13

  • @richardshemzigwa1744
    @richardshemzigwa1744 День тому

    Duh! haya chief mwantembe

  • @paulokuze9307
    @paulokuze9307 День тому

    Tayari amekua shetani

  • @amedeusmtui5495
    @amedeusmtui5495 День тому

    Isaya 9:6 ...Naye ataitwa jina lake, mshauri wa ajabu, Mungu mwenye nguvu

  • @Ufahamu-01
    @Ufahamu-01 День тому

    Hakika mzee

  • @dddalmah
    @dddalmah 2 дні тому

    There is difference between inner richness and money

  • @myunaniniahmad6463
    @myunaniniahmad6463 2 дні тому

    hii kali, sadaka inalazimishwa.

  • @BatazalNdifwa-nk2hl
    @BatazalNdifwa-nk2hl 2 дні тому

    Hah hah hah hah! Lusekeloooooooooo! Ok

  • @lybiajohn4122
    @lybiajohn4122 2 дні тому

    YESU NI MUNGU100% Asingekuwa Mungu tusingemwabudu Wala damu yake isingeondoa dhambi Wala jina lake lisingeokoa, Emmanuel MUNGU PAMOJA NASI😂 Yohana 1:1 John 1:1,3,14 [1] Hapo mwanzo kulikuwako Neno, naye Neno alikuwako kwa Mungu, naye Neno alikuwa Mungu. Vyote vilifanyika kwa huyo; wala pasipo yeye hakikufanyika cho chote kilichofanyika. [14] Naye Neno alifanyika mwili, akakaa kwetu; nasi tukauona utukufu wake, utukufu kama wa Mwana pekee atokaye kwa Baba; amejaa neema na kweli.

  • @elishampoki8751
    @elishampoki8751 2 дні тому

    Mungu ni mmoja tu katika utatu, Mungu Baba mwana na Roho mtakatifu ni Mungu mmoja sio miungu mitatu hapanaaa Mungu nimkamilifu katika utatu, Hayo sio mapokeo Mapokeo ni mtu anaekataa kuwa Yesu sio Mungu 27:30 hayo ndiyo Mapokeo ya wanadamu Mimi Kama Mimi Yesu kristo nikiwa katika maombi namwita Mungu Wangu,Bwana wangu Yesu wangu na Roho mtakatifu nisaidie kuomba unaona jinsi inavyokuwa na utamu na ushindi Tena nikitamka tu kwajina la Yesu kristo shetani nipishe ananipisha akiwa amechanganyikiwa anakimbia Kwanjia saba lusekelo Bado tu ujatambua kuwa Yesu kristo ni Mungu Mkuu, Tena anasema kwajina langu mtatoa pepo na mtasema kwa luga mpya, na mtaweka mikono juu ya wagonjwa watapona, ludi upya kwa Bwana Yesu mpendwa,ili utembee na Rema sio rogosi Ya wanadin Wana wa Mungu wanatembea na Rema ndio maana wanamtambua Bwana wao Yesu kristo kuwa ni Mungu Mkuu, alipaa Mbinguni akiwa Mungu Atakuja kuwaukumu wanadamu akiwa Mungu Mkuu mwenye nguvu kuliko viumbe vyote Mbinguni na Duniani sijawai muona Alie Kama Yeye ,nawashangaa mno wanaomkataa Yesu kristo kusema sio Mungu,hiyo niajabu mno kwangu, Yeye ndiye alieniokoa Mimi,na kuniponya ,Nani kakudanganya mwantembe rafiki yangu kusema Yesu sio Mungu,. I 😢😢

  • @elishampoki8751
    @elishampoki8751 2 дні тому

    Hatari mno Lusekelo Umetoka Rohoni umekuja njee mwilini Huwezi kulitambua jina la Mungu ukiwa mwilini,jina la Mungu linalotisha lilonanguvu kubwa ni jina la Yesu kristo, Hilo ndilo jina la Mungu Baba lusekelo usilitafsrili jina la Yesu katika mwili utatoka patupu katika mwili ni Binadamu Kama wewe lusekelo katika roho ni Mungu Mkuu,ohoo shauli yako. Utatekwa na wenye Imani ya mwilini no 666,namba hiyo inamkataa Yesu kristo kuwa sio Mungu sio mwana wa Mungu,, Mungu amekamili katika utatu, Mungu Mwana Mungu Baba na Roho mtakatifu lakini ni Mungu mmoja katika utatu, jina la Mungu ni cheo chake lakini jina leke ni Yesu kristo, Tena atapokuja kuhumu Dunia Hilo jina la Yesu,Hutalisikia Tena Atakuja na jina lingine kabisa ataitwa Neno la Mungu, Hapo sasa Dunia yote itatokwa na macho mekundi Kama wamevuta petroli,au Bangi maana wanadamu watachanganyikiwa ,kwakuwa waliliktataa neno la Mungu, 25:59

  • @Ufahamu-01
    @Ufahamu-01 2 дні тому

    Hakika mzee

  • @KhamisFeysal
    @KhamisFeysal 2 дні тому

    Siku mtaelewa dini ya kweli ni ipi uslam au ukristo

  • @DANIEL_KISANGAU
    @DANIEL_KISANGAU 2 дні тому

    Mzee wa upako get the revelation of the bible

  • @songweboytaifa1990
    @songweboytaifa1990 2 дні тому

    Unajuwa ila wahubiri wengine hawawezi kukuelewa

  • @pepchallanga3626
    @pepchallanga3626 2 дні тому

    a simple reminder:go thru a metaphysics of IAM whereby Jesus himself said he is AIM

  • @arineitwelauren6659
    @arineitwelauren6659 3 дні тому

    Upo sahihi

  • @arineitwelauren6659
    @arineitwelauren6659 3 дні тому

    😂❤

  • @bogate156
    @bogate156 3 дні тому

    UKITAKA KUFAHAMU UELEWA DUNI WA WATU PITIA COMMENTS....WENGI WETU TUNA UELEWA DUNI SANA TENA SANA WA HIZI DINI TULIZOLETEWA . IWE UKRISTO AU UISLAMU AU UBUDIST AU IMANI YOYOTE....WACHANGIAJI NI TATIZO NA MTOA HOJA NI SHIDA....MJINGA NA MPUMBAVU WANASIFIANA...NA TAAHIRA ANAPIGA MAKOFU...KWA KWELI HAKUNA JAMBO AGHALI DUNIANI KAMA UPUMBAVU....

  • @mohamedjakaya5355
    @mohamedjakaya5355 3 дні тому

    Wazungu waliwadanganya kwa kuwaaminisha kuwa Yesu ni Mungu na kubadilisha maneno kwenye biblia hivyo hata ukiwazindua hawaamini.

  • @mohamedjakaya5355
    @mohamedjakaya5355 3 дні тому

    Ni kweli kabisa Yesu siyo Mungu na wala hakuhusika ktk kuumba hii dunia ila ni nabii wa Mwenyezi Mungu na wanaomwita mungu na kumuabudu hiyo ni imani yao maana kuna wanaoabudu ng'ombe na masanamu pia wapo hivyo msimlaumu mzee wa upako

    • @lilyg2134
      @lilyg2134 2 дні тому

      HEBU KAFIE MBELE HUKO, DINI YAKO YENYEWE INATEGEMEA MSINGI WA WAKRISTO, YAN BILA UKRISTIO HAMNA DINI NYIE MAKAFIR YA KIISLAM... QURAN KARIBU YOTE TUMEJAA SISI NA WAYAHUDI TU JINSI MNAVOWASHWA🤣

    • @lilyg2134
      @lilyg2134 2 дні тому

      YESU NABII HUKO KWENU KWA BABAKO SIO KWA WAKRISTO!! NIACHE KUWAAMINI MITUME WA YESU WALIOKULA NAE MEZA MOJA NIMUAMINI CHIZI MMOJA ALOKUJA MIAKA 600 BAADA YA YESU KUPAA MBINGUNI🤣🤣 HATA SURA HAJAWAHI KUMUONA WALA KUMUOTA, ANAAMKA TU ANAKUJA KUWADANGANYA, CHIZI LINGINE NI HILI LA 2024 LISILOJUA LINACHOKIABUDU..AFU LIKIWA KANISANI KWAKE LINAOMBEA WATU KWA JINA LA YESU HUYO HUYO ANAESEMA SIO MUNGU NI MTUME...MXIUUU!!!!

    • @lilyg2134
      @lilyg2134 2 дні тому

      MNAABUDU MUNGU MWEZI, MNAABUDU JIWE NA KULIBUSU KUOMBA KWENE HILO JIWE, WEHU WENZENU KIBAO WANAKUFA KWA KUKANYAGANA HUKO MECCA KISA KUGOMBANIA KULIGUSA JIWE🤣🤣🤣🤣🤣🤣HEBU KAMRUSHIE SHETANI MAWE HUKO MECCA USITUPGIE KELELE..KATIKA WATU WALIOCHANGANYIKIWA NA KUDANGANYWA NA MUDI NYIE WAISLAM..HAMNA DINI !!!

  • @maryfranknamkumba9182
    @maryfranknamkumba9182 3 дні тому

    Wewe baba Naomba usituchanganye. Peleka hukohuko kwa mashetani wenzako hayo mahubiri Stupid man, nonsense

  • @user-tb6gv1xx9j
    @user-tb6gv1xx9j 3 дні тому

    Utadaiwa hizoloho unazo zipoteza ckuyamwisho olekwako

  • @user-vo5zg1bj3i
    @user-vo5zg1bj3i 3 дні тому

    Ulivyo kuwa masikin alikuwa mungu leo syo Mungu pouw

  • @dicksonkimanthi5242
    @dicksonkimanthi5242 3 дні тому

    Ni ni mwana wa mungu lakini lakini ni mungu kwa asili but sio nafsi

  • @elisha5693
    @elisha5693 3 дні тому

    Sasa akiwa duniani alikuwa na hali ya kibinadamu lkn kuna wakati anavaa uungu

  • @StanleySewando-nb4xm
    @StanleySewando-nb4xm 3 дні тому

    Yesu alipovaa mwili ilikuwa lazima apungue Kila Khali

  • @Ufahamu-01
    @Ufahamu-01 3 дні тому

    Hakika ni kweli

  • @Ufahamu-01
    @Ufahamu-01 3 дні тому

    Hakika

  • @VradminLenin
    @VradminLenin 3 дні тому

    Niliwaaambia tangu mda wa bandali kuwa huyu ni dalali hamkunielewa

  • @VradminLenin
    @VradminLenin 3 дні тому

    Uyu jamaa ni dalali wa bandali niliwaaambia hamkuelewa

  • @onlyyoujesus8232
    @onlyyoujesus8232 3 дні тому

    Yesu ni Mungu kweli

  • @user-id2vh9qt7v
    @user-id2vh9qt7v 3 дні тому

    Utahukumiwa Kwa kuhubiri uongo

  • @Frankgamanuel
    @Frankgamanuel 3 дні тому

    Mmmmmmmhapa Kuna shida Kwa huyu Mzee Naona kama hayuko sawa Ngoja tujiandae kumuokoa Kwa kufundisha maana atawapotosha watu Naomba mdaalo wa kufundisha hukiwa live na huyu mtu.

  • @Sostere98
    @Sostere98 3 дні тому

    Kwani kuna mtu kasema Yesu ni Mungu

  • @smprotz
    @smprotz 3 дні тому

    Nachomkubali @mzeewaupako anajenga msingi WA andiko Kwa uwazi WA maandiko MENGI. Sio Hawa wengine wanaotegemea andiko Moja lisilo WAZI. Wewe ni Chief Bhana

  • @abdulkadrimbona4454
    @abdulkadrimbona4454 3 дні тому

    Kaka nakuunga mkono wewe bibiria unaifaamu unasema ukweli nipo pamoja nawe

  • @abbymdee8920
    @abbymdee8920 3 дні тому

    Umesema kweli Mzee wa Upako Mwenyezi Mungu akubariki.

  • @paulomlekwa192
    @paulomlekwa192 3 дні тому

    Tafsiri nyingi za biblia zinazotaja kwamba Mwenyezi Mungu ndiye yesu watafsiri waliasiliwa na mapokeo...wasomaji someni tafsiri mbalimbali na kwa lugha tofauti tofauti... Hiyo matendo 20:28 mnayotumia je mmesoma tafsiri kama hizi? Jihadharini wenyewe; lilindeni lile kundi ambalo Roho Mtakatifu amewaweka ninyi muwe walezi wake. Lichungeni kanisa la Mungu ambalo amejipatia kwa damu ya Mwanae. ❤ Jiangalieni wenyewe na kundi lote, ambalo kati yake roho takatifu imewaweka ninyi rasmi muwe waangalizi, mlichunge kutaniko la Mungu, ambalo alilinunua kwa damu ya Mwana wake mwenyewe.

  • @anoldpotentin2446
    @anoldpotentin2446 3 дні тому

    Ambae anabisha Yesu sio Mungu atuambie Mungu wake anafananaje? Au amlete kabisa tumuone Mungu wake